Bakwata kwanini mwatufanyia hivi?

Bakwata kwanini mwatufanyia hivi?

Nchi yetu Tanzania tuna mambo yetu wenyewe na imani yetu wenyewe!
KUTII NI BORA!
 
Subirini kuna siku mtaambiwa X-mass msherehekee tarehe 31 December
 
duh sasa hiki kitu mbona kinakuwaga kinachanganya watu wengi sana jamani tatizo nini lakini ?
 
duh sasa hiki kitu mbona kinakuwaga kinachanganya watu wengi sana jamani tatizo nini lakini ?
Solution ya hii kitu ni kuwa na off public siku mbili rasmi serikali isiingilie hii kitu kwa ku support upande mmoja. wan Bakwata wacha wale Eid siku wanayotaka na wengine wale na zote zitambulike ni public holidays. Mbona Xmass tarehe 25 na 26 boxing days. pasaka almost 3 days. Eid zitambulike zote ndio heshima itapatikana. Maana ukiangalia kila siku upande wa pili wanazidi kuliko Bakwata. au wakubwa wanafurahia kuona tumegawanyika maana ni tabu kweli leo hii hata family moja wanakula Eid siku tofauti inepoteza furaha yote ya Eid tuliyokuwa tuna enjoy zamani. Kwanini wasikae ukiacha tofauti zao wakubaliana kuwa kama waislamu tuwe na Eid moja tu na kuleta win win ni kukubaliana Eid Fitr twende na mwezi na Hajj twende na Mahujaji basi tule Eid kwa furaha family zote kama zamani.
 
Back
Top Bottom