Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
BAKWATA Mavyeti yao yale hata serikalini hayatambuliki. Serikali wenyewe wanavyeti vyao maalum vya ndoa hao BWAKATA wahimize masheikh wao wakajisajili kwa ofisi ya mkuu wa wilaya wapewe vyeti vya serikali