NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 407
Kwa mujibu wa jarida maarufu duniani,Said Salim Bakhressa ni miongoni mwa matajiri wakubwa Africa ambao utajiri wao unaongezeka kwa kasi. Kwa mujibu Forbes Magazine Kampuni yakeya Bakhressa Group inatengeneza mauzo yanayohfikia dola za marekani milioni 800 sawa na shilingi za Tanzania trilioni 1.2.
http://quicknek.blogspot.com/b/post...oDcqqZUQ&postId=5419088619792790361&type=POST
http://quicknek.blogspot.com/b/post...oDcqqZUQ&postId=5419088619792790361&type=POST