Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,271
- 13,429
Kwa kunyonga na kuchinja watu...maana mafanikio unayoyazungmzia ni yale ya kupewa mssada wa siraha kutoka magaidi washirika.
unatudhalilisha wakristo wenzako. Huo udini hapa umetokea wapi? Hii Tz n ya wote.
Nakushauri tembea uone utajua mengi sana na baadae utajidharau kuwa udin hauna maana