Bakhressa buys Zimbabwe's second largest food company

Bakhressa buys Zimbabwe's second largest food company

si ndio kazi zenu...wasilamu.

Na bado utanyooka tu.dawa ya watu wenye roho mbaya na chuki kama wewe ni mafanikio tu hakuna namna.yakikushinda kanywe sumu watu wanazidi kutengeneza dollars kwa kwenda mbele.
 
Apart from Azam tv uwepo wa Azam Kenya (soko la uhakika) mdogo. We need more Azam products/services soko la Kenya. Hongera Azam.
 
Na bado utanyooka tu.dawa ya watu wenye roho mbaya na chuki kama wewe ni mafanikio tu hakuna namna.yakikushinda kanywe sumu watu wanazidi kutengeneza dollars kwa kwenda mbele.

Kwa kunyonga na kuchinja watu...maana mafanikio unayoyazungmzia ni yale ya kupewa mssada wa siraha kutoka magaidi washirika.
 
wakati matajiri wengine kama lowasa wanang'ang'ania siasa,,,,huyu mzee anazidi kuchanja mbuga...
naona MO nae kastuka na kujitoa katika siasa,na sasa anakuja juu,kuna hadi tambi,jojo,sabuni n.k za MO....
SIO lazima uwe mbunge ama waziri ndo mambo yako yakae sawa..

Ndio maana raia wa nchi nyingine wanatuita backward people yaani tulio nyuma kwa kila kitu,wewe ni mfano mmoja wapo wa watu waliopitwa na mengi sana hapa duniani.Unashangaa Lowassa kugombea urais?mbona Kenya sasa hivi inaongozwa na rais tajiri na anafanya vizuri sana.Marekani kuna tajiri (estate mogul) aitwaye Donald Trump anagombea urais na ndiye anayeongoza ktk kura za maoni kwa upande wa Republican mpaka sasa.
 
kwa waislamu.

Zimbabwe kuna waislamu wangapi? ina maana atachukua wafanyakazi Tz? kwanini asiende kununua Sudan kwenye waislamu wenzake?
watu wa aina yako ingewekwa sheria kuwachapa viboko hadharani ,
 
Ahsante Bakhresa. You are beyond parochialism. Naona baadhi ya wadau humu jamvini wameanza kuibua udini ! What has religion got to do with business ? Natamani makampuni ya Kizalendo yenye uwezo kama vile CRDB, IPP, MO na mengine yangeiga mfano wako na kuwekeza nje, angalau katika nchi za EAC na SADC. Wawekezaji na wafanya biashara wa nje hutuona sisi kama soko. Lakini kwa kiasi kikubwa sisi hatuzioni nchi zao kama fursa, sana sana ni kulalamika tu ! Hongera Bakhresa. Unajua fika kwamba siyo biashara nzuri kuweka mayai yako yote kwenye kapu moja.
 
Zimbabwe kuna waislamu wangapi? ina maana atachukua wafanyakazi Tz? kwanini asiende kununua Sudan kwenye waislamu wenzake?
watu wa aina yako ingewekwa sheria kuwachapa viboko hadharani ,

ili kutekeleza sharia si ndio? waislamu bwana!
 
Angeweza kuinua kilimo cha ngano nchini ili pesa ibaki nchini angekuwa ni mzalendo zaid
 
wakati matajiri wengine kama lowasa wanang'ang'ania siasa,,,,huyu mzee anazidi kuchanja mbuga...
naona MO nae kastuka na kujitoa katika siasa,na sasa anakuja juu,kuna hadi tambi,jojo,sabuni n.k za MO....
SIO lazima uwe mbunge ama waziri ndo mambo yako yakae sawa..

Mkuu mbona kila mara unaweweseka khs Lowasa? yaani kwakuwa SSB anauza unga wa Mahindi unataka wt wafanyebiashara 1? Mkuu jizoesheni kuishi bila CCM km hamkujipanga B4 sio kosa la LOWASA ni watanganyika wameamua kuwapumzisha samahani kwa mleta mada kwakuchepuka nilikuwa namuweka sawa huyu ndg na wote wanaofikiri km yy
 
Na mimi mwanzoni nilidhani hivyo,lakini ukweli ni kwamba kama sifa unazo
ajira ipo.Ni dhana tu miongoni mwa watu,hasa wapambe.
Kuna wahindi wakristo ndani ya kampuni
kuna wakenya wakristo pia mpaka wazungu wakristo
kalagha bao.

WaTz wakristo mbona hujasema?? Na hakuna mtanzania mwenye nafasi ya juu kwa Bakhresa wote ni makarani. Ukipeleka Cv badilisha Jina
 
WaTz wakristo mbona hujasema?? Na hakuna mtanzania mwenye nafasi ya juu kwa Bakhresa wote ni makarani. Ukipeleka Cv badilisha Jina

Sawa,nitabadilisha....napendekeza niitwe Suleimaan,teh teh.:A S 41:
 
Ila don't you think we need more multinational companies?
SSB's businesses are private remember.
I wish we had govt owned multinationals!

Mkuu subiri Lowasa akiingia madarakani hayo yote yatakuwa!
 
Ndio maana raia wa nchi nyingine wanatuita backward people yaani tulio nyuma kwa kila kitu,wewe ni mfano mmoja wapo wa watu waliopitwa na mengi sana hapa duniani.Unashangaa Lowassa kugombea urais?mbona Kenya sasa hivi inaongozwa na rais tajiri na anafanya vizuri sana.Marekani kuna tajiri (estate mogul) aitwaye Donald Trump anagombea urais na ndiye anayeongoza ktk kura za maoni kwa upande wa Republican mpaka sasa.

Achana na huyo mjinga hajielewi, anahisi masikini anaweza kumpa mbinu za kuuacha umasikini. To be honest mimi nina amini kama Nyerere angekuwa na Business mind leo tungekuwa mbali sana kiuchumi na kijamii. A business man is always a visionary and strategist. Mcheki Uhuru Kenyata anavyo ipeleka Kenya Kwa kasi.!?
 
Back
Top Bottom