Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,650
Usiku huu nikiwa maeneo ya Gongola mboto katokeza jamaa mmoja amelewa tilalila. Akakatiza pale tulipokuwa tumekaa, ikabidi tumpe ushauri wa bure kwa jinsi alivyokuwa anapepesuka. Tukamshauri achukue japo bajaji kwa vile anaweza gongwa na gari. Ee bana eeh! Jamaa alituchana chana ile mbaya! "Hivi nyie mnaishi Tanzania gani? Bila sisi kulewa si mngetumikishwa na akina David Cameroon nyie? Majuha wakubwa msio na shukurani nyie." Mengine hayaandikik hapa. Kilichofuatia siwezi kisimulia kwa vile ni kujitwalia sheria mkononi kama kalivyo ka utaratibu ka watanzania.
Onyo: Walevi wapewe heshima wanayostahili.
Onyo: Walevi wapewe heshima wanayostahili.