MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Kwa wote mnaosikiliza bunge na hali halisi ya mwenendo wa Wizara ya Nishati na Madini.Jairo alikusanya pesa kuhonga wabunge, tuseme mawaziri hawajui hilo? Na kama Bajeti ikipita, Nini hatima ya mawaziri hawa na Jairo wao??
Tuchangie mawazo wandugu.
Tuchangie mawazo wandugu.