Wanajamvi,
Naombeni kufahamishwa kuhusu hizi bajaji zenye tank la maji safi nyuma. Ni kwamba zinakuja kuuzwa kama zilivyo au ni modification inafanyika tu hapahapa bongo?
Wakuu hebu nijuzeni ,sipati picha kuhusu hizo bajaji.hilo tank la maji safi hao jamaa wameweka kuuza maji au inakuaje? how many liters it can contain.Na details nyingine kama zipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.