Bajaji inahitajika.

Bajaji inahitajika.

MJASI LIAMALI

Member
Joined
Mar 26, 2018
Posts
18
Reaction score
5
Habari wakuu,
Anayeuza bajaji kwa 3M anitafute. Ila bajaji iwe TVS nzima full vibali then nitakuja kuikagua tufanye biashara.
Nipo Tabata Dar
 
Una 3M na masharti yote hayo??

Bajaji yenye unafuu nakushaauri andaa kuanzia 4M otherwise utapata mbovu iliyochoka sana, bajaji ni dili sana sasaiv
 
Habari wakuu,
Anayeuza bajaji kwa 3M anitafute. Ila bajaji iwe TVS nzima full vibali then nitakuja kuikagua tufanye biashara.
Nipo Tabata Dar
Kuna Bajaj Tvs namba A ipo Chanika mwenyewe anataka Milioni 3.5 kama uko serious nicheck
 
Una 3M na masharti yote hayo??

Bajaji yenye unafuu nakushaauri andaa kuanzia 4M otherwise utapata mbovu iliyochoka sana, bajaji ni dili sana sasaiv
Wapo tu wanaouza so watapatikana tu. Juz menunua TVS mzima 3M. Shida haivumiliki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom