Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,773
- 2,383
Ni kawaida siku hizi bajaji kutanua na kuovateki upande wa kushoto, isivyo sheria.
Asubuhi ya leo pale Mlalakuwa-JKT, bajaji katika kufosi kupita , lahaula kampiga pasi benzi.
Mtu wa kitu expensive-benzi- akatoka na kukagua gari yake na kumpa vibao viwili vitatu kabla ya kumwamuru bajaji waelekee Kawe kituoni.
Ni kawaida asubuhi foleni ya kwenda mjini ni magari mawili mawili, na moja kurudi Kawe/Mbezi, hivyo bajaji kwa kutanua zaidi kajikuta matatani.
Asubuhi ya leo pale Mlalakuwa-JKT, bajaji katika kufosi kupita , lahaula kampiga pasi benzi.
Mtu wa kitu expensive-benzi- akatoka na kukagua gari yake na kumpa vibao viwili vitatu kabla ya kumwamuru bajaji waelekee Kawe kituoni.
Ni kawaida asubuhi foleni ya kwenda mjini ni magari mawili mawili, na moja kurudi Kawe/Mbezi, hivyo bajaji kwa kutanua zaidi kajikuta matatani.