Emory Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 492
- 630
jamani leo mapemaa kwenye saa 4 hivi asubuh kabwela mwenzenu baada ya kunywa supu nimeamua nianze mapemaa mambo yetu yale kwa kutoa lock kwa KILIMANJARO bariidi...
sasa ndo nikaanza kuwaza kikabwela hivi huyu ndugu yetu bahresa mbona kashawahudumia makundi mengine ya jamii kwa bidhaa zake sasa inakuaje kwa sisi watumia kilaji? au tumemkosea nini?
jaman kama kuna mtu huku jf amfikishie taarifa kuwa katusahau eti! basi angalau atuletee AZAM LAGER, AZAM LIGHT au hata ikiwezekana AZAM KIROBA. jaman yangu ni hayo tuu.
waiterrr.... KILAMANJARO baridi hapa usisahau bili yangu tafadhal. jioni nitaanza bili nyingine.
Hahahahah,mkuu umenifanya nicheeeeke! Shukran kwa hlo