Bagamoyo kulikoni leo?

Bagamoyo kulikoni leo?

Baba_Enock

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
7,076
Reaction score
2,465
Misafara ya magari ya watawala kuelekea Bagamoyo ni mingi mno leo
 
Huenda wanashiriki mazishi ya kakavyake Jk aliyefariki huko INDIA......
 
Misafara ya magari ya watawala kuelekea Bagamoyo ni mingi mno leo
Na kunafoleni ya kufa mtu kupisha wakubwa wakielekea nasikia kwenye msiba wa kaka yake raisi mstaafu,nimekaa masaa 2 kwenye foleni nikitoka Bunju
 
Tayari...................................................
 
Aisee mlikuwa na haki ya kulalamika,dizaini Leo serikali ilihamia Msoga wanapeana ten minutes za kila kiongozi kumtangulia mwenzake.....Ni shida
 
Walifuata "Medulla Oblangata_zao". Nilisikia wengi walikuja mjini bila hiyo kitu, wamekumbushwa kuifuata leo
 
Back
Top Bottom