Badoo & Eskimi pango la wazinzi

Badoo & Eskimi pango la wazinzi

Mchumi90

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,102
Reaction score
1,331
Wanajukwaa habari za weekend? I hope mpo poa. Me leo nataka tuwekane sawa kuhusu hiyo mitandao miwili,kuna kidemu nilikikuta eskimi nikakichokoza "mambo" kakajibu "poa" ,pande zipi "mikocheni" nikasign out. Kuja kurudi nakutana na text demu kajitangazia biashara na number kanipa sema "dau" lake kubwa. Duh ckujua kumbe yale ndo mapango ya biashara chafu hapa bongo....Kwa staili hii twaangamia jamani, wadauo wa papuchi kama unaitaka na umejipanga nipm uchukue namba
 
Mkuu social network zipo kwa ajili ya kaz mbali mbali, watumiaji kila mtu analengo lake...
Sasa wewe unatakiwa ufate lililokupeleka mengineyo achana nayo
 
Mkuu social network zipo kwa ajili ya kaz mbali mbali, watumiaji kila mtu analengo lake...
Sasa wewe unatakiwa ufate lililokupeleka mengineyo achana nayo

Badoo ain't facebook,Badoo is only for dating
 
Vipi si ujipange ww mwenyewe ukamalizane nae unamaana gan kutushirikisha na ss!?????????
 
Wanajukwaa habari za weekend? I hope mpo poa. Me leo nataka tuwekane sawa kuhusu hiyo mitandao miwili,kuna kidemu nilikikuta eskimi nikakichokoza "mambo" kakajibu "poa" ,pande zipi "mikocheni" nikasign out. Kuja kurudi nakutana na text demu kajitangazia biashara na number kanipa sema "dau" lake kubwa. Duh ckujua kumbe yale ndo mapango ya biashara chafu hapa bongo....Kwa staili hii twaangamia jamani, wadauo wa papuchi kama unaitaka na umejipanga nipm uchukue namba



Kwann mnaish kwa kusujudia mitandao ya kijamii
 
Sasa hapa kazi ipo.
Mie najua fb, instagram, whatsapp na jf. Kumbe kuna badoo(najuwa baidu) na eskimi(ama ni eskimo)
Kuna zingine zipi?
Tupe list!
 
badoo haifai kabisa.....ni dating site na wengi machangu na wezi pia humo humo tuwe makini na mitandao kama Badoo; Wengi wao picha sio zao,namba walizonazo ni fake na huwa wanaandamana na wanaume wakuibie; Kuna mtu wangu wa karibu sana yamemkuta ikabidi twende kumuokoa ndani huko Kinondoni/Mwananyamala; .....waambie na wengine ule mtandao haufai kabisa...ingawa sidhani kama lengo la walioanzisha ilikuwa hivyo; imegeuka kuwa pango la vibana na machangu mjini;
 
Back
Top Bottom