Badoo & Eskimi pango la wazinzi

Badoo & Eskimi pango la wazinzi

Unaponda wakati huo huo unawatangaza na kuomba uombwe namba pm?
umekuja kuwafanyia promo?au ni wewe mwenyewe ?
Umemshtukia eeh, ndo mwenyewe huyo. Tangaza dau usizuge mrembo tukiona tunaweza tutaomba namba.
 
nilipata manzi badoo tukapima tupo fresh nategemea kumuoa soon. wengi wakweli
 
Khaa!! No free lunch. Sifa ya mwanaume ni kulipa bills....
 
Inategemea unataka nini huko,binafsi nimepata marafiki wa kweli,wateja wa bidhaa zangu na mchumba! Ila kiukweli inatakiwa akili ya ziada kufanikisha hilo.
 
kwani hujui maana ya skout...pole
kwanza jua nachotka na usiingie am ujui maana ya hiyo network
 
Daaaa!!! Maana kweli mi huko eskimi nimejipigia kama 3 hv tena kwa mipango tu na maneno matamu bila hata ya kuwahonga....sema nishaacha tabia hii maana unaweza pata umeme hivi hivi maana ni kama unasukuma mlevi hivi...vitoto vya sec...chuo...mpk ma house mama lady
 
Back
Top Bottom