Katika uchaguzi wa uwt ccm imeonekana rushwa kutia fora, na vyombo vya habari vimejitahidi sana kuripoti huku gazeti la Nipashe la jana limelipoti vizuri na kwa undani, lakini takukuru wako kimya hv tuendelee kuwa na imani na takukuru? Kwa nini tusikose imani kama tbc tulivyokosa imani nayo? Basi kama imeshindwa kazi si bora ikafutwa, kuliko kuiendesha kwa gharama kubwa huku ikiwa haifanyi kazi.