to be
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 229
- 261
Akitokea mikoa ya karibu Kama morogoro,dodoma,pwani na dar itakuwa vizuri zaidi kwa maana ya urahisi wa kuonana. Awe tayar kwa maisha ya ndoa,umri usizidi miaka 28,Kama ana mtoto awe mmoja, elim yoyote ,asitumie mkorogo au awe hajajichubua( rangi yoyote ila I we ni ya asili) ,asitumie pombe Wala sigara, mwaminifu. Mimi Nina miaka 32 na nimejiajiri. Karibuni pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app