Bado sijapata mke mwenye kuhitaji mume

Bado sijapata mke mwenye kuhitaji mume

Jengele

Member
Joined
May 15, 2015
Posts
15
Reaction score
9
Rejea post yangu,mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 46, bado natafuta mwanamke mwenye nia ya dhati na ya kweli kutoka moyoni ambae anaitaji mume.

Namba yangu ni 0718 53 18 23

Karibu sana
 
Huna wazazi wewe ?kama wapo wambie wakutafutie maana naona yawezekana domo lako la zege
 
Mkuu pole
nakuonea huruma ila umenizidi kama mika 28 hivi imagne
nadhaninumri wangu ninwa wengi waliomo humu
age yako ni kubwa sana

ila utapata
 
Mke mwema hutoka kwa Mungu fanya Sana maombi utajibiwa tu.
 
Mkuu pole
nakuonea huruma ila umenizidi kama mika 28 hivi imagne
nadhaninumri wangu ninwa wengi waliomo humu
age yako ni kubwa sana

ila utapata

Aisee mbona unamkatisha tamaa, wakati kuna misemo kwamba watu wa umri wake sio wasumbufu kwa mabinti wadogo wadogo kama wewe...
 
Mkuu pole
nakuonea huruma ila umenizidi kama mika 28 hivi imagne
nadhaninumri wangu ninwa wengi waliomo humu
age yako ni kubwa sana

ila utapata

Hivi tabia ya kudanganya umri bado mnayo??
 
Mkeo wa kwanza yuko wapi?????? mlitengana au alikufa????

Kama alikufa toa sababu za kifo chake.

Taja idadi ya watoto ulionao, umri wao na jinsia.


Baada yakujibu haya, nitarudi ili kuuliza kuhusu miamala yako yote, hadi umri huo bila shaka una hisa za kutosha, ACC sio dhaifu.
 
Mkuu pole
nakuonea huruma ila umenizidi kama mika 28 hivi imagne
nadhaninumri wangu ninwa wengi waliomo humu
age yako ni kubwa sana

ila utapata
masai dada Mimi ni nnamiaka 28 naomba nafas bhana cz nadhan umri wako ni sahh uwe na kijana wa umri wangu njoo pm tuyamalize
 
Last edited by a moderator:
Mkuu pole
nakuonea huruma ila umenizidi kama mika 28 hivi imagne
nadhaninumri wangu ninwa wengi waliomo humu
age yako ni kubwa sana

ila utapata
yaani una 18years!? form five umepangiwa wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom