Bado ninakukumbuka Rose

pole sana mkuu
 
Rose! Rose! Rose! umenikumbusha mbali sana mkuu kweli maisha usiku wa kiza nisiseme chochote namtakia kheri huko aliko.
 
R.I.P Rose..Pole sana mkuu..Haya majina ya rose sio mchezo tukianza na titanic rose alimtenda mume wake akaenda kwa jack
 
Mwenyezi mungu anasema.
WAOMBEENI MEMA MAREHEMU WENU.
ukiwatolea sadaka zinawafikia.
Ukiwaombea dua pia zinawafikia.
Maombi hayabadili na wala wanadamu hakuna wanachoweza fanya kwa niaba ya aliyekufa.
Ukifa umekufa husikii chochote na wala hakuna kinchobadilika
 
Ule uzi wa Heaven on Earth ulileta simanzi sana, lakini haukua na madhara sana hata alipoweka ile picha kwa kuwa wote ni wanawake na walikua marafiki walioshibana. Urafiki wao ulitambulika na kujulikana na wengine pia. Sikuona madhara makubwa kuwepo ile picha ya Carol.

Lakini kwa upande wako, maelezo yanaonyesha ukakasi wa mahusiano na si ajabu huyu binti tayari alishaamua kuendelea na maisha yake, sikuona haja ya kuweka wazi hadi picha yake kwenye maelezo yako, kumbuka huyu hakua mchumba wala mke. Mtunzie heshima yake.
 
Hata km una usafiri wako .hazikwepeki bado yaani

Hicho ndio kitu wengi hawakielewi, hasa ukiwa Dar kwenye foleni na mishemishe za kufukuzana na wakati. Hapo ndio usafiri binafsi au wa kukodi unapoonekana kukosa thamani unajikuta kudondokea kuweka rehani ya maisha kwa bodaboda.
 
Mara tiii taarifa ni ya uongo uliyopewa hilo sekeseke na sokomoko litakalo ukumba huo moyo wako



Mkuu pole sana maisha ndo haya haya na safar ni moja yatupasa tukubal hata kama hatutak
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…