Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,688
- 3,142
- Thread starter
- #41
Hilo sitoliweza mkuu mimi na ushirikina apana kabisaKamloge
Hilo sitoliweza mkuu mimi na ushirikina apana kabisaKamloge
Nlikua nasubiri comment kama hii😀😀😂😂🙌Bora ufe mkuu
Nashukuru kwa ushauri ndugu nadhani unajua ugumu wa kumuacha mtu ulizoena naye kwa kipindi kirefu japo hapo uliponi ushauri nijiweke bora zaidi ya jana ngoja nitajitahidi kulifanyia kazi hili labda anaweza kurudi pindi nitakapo kuwa bora zaidi ya janaMkuu kwanza wwnasema usimpenda sana mwanamke kama yeye hakupendi the same way wewe unavompenda kwa sababu the deep you love the deep pain you will have when sshe starts drama.
Wanawake huwa wengi hakwambii sikutaki ila huanza visa kama unavoviona, one thing you can do
1. Kubali kuwa mjinga uendelee kumega kisela jifanye hujui kila kitu anachofanya.
2. Kwa vile mwanamke haachi mwanaume aliyenaye hadi awe amepata mwingine aliye bora kuliko wa mwanzo. So jiweke uwe bora kuliko aliyenaye.
3. Move on mute status zake zote. Hii imenisaidia kumwacha mwwnamke niliye mpenda sana then yeye ndo amebaki kunifuatilia coz anaweka status za kuniumiza mm siziangalii ila kuna mtu ananipa updates
We jamaa una undez flan, af uyo dem amejua we ni dhaifu kwake so atakupelekesha balaa.Nimejaribu hili mkuu nimeshawahi kumblock akanipiga kwenye namba mpya kwanini nimefanya vile kumblock number yake nikaona isiwe kesi nika unblock number yake na kumkanya hizo post anazopiga na wanaume huko whatsapp nilidhani atabadilika ila ndio kwanza anazidisha mahusiano nao nashindwa kuelewa ana maana gani
uzi kama hizi tuliziachaga huko Fb..na huku naona mnazidi kuongezekaHabarini wakuu naimani nyinyi humu wote ni wazima wa afya! Kama kijana wenu bado naendelea kuteseka na mapenzi maisha nayo yananichanganya sana mpaka nakaa nafikiria kujiua nikapumzike kaburini niepukane na haya matatizo, ila why God always me?
Kuna siku fulani nilileta uzi kuwa shemeji yenu mtarajiwa anafanya vijimambo mpaka nashindwa kuelewa sababu ni nini? au anafanya haya ili anirushe roho juu kupita status zake huko whatsapp akiwa na wanaume kwenye birthday zao, migahawa ya gharama na leo pia kapost status akiwa kwenye gari ya mwanaume sijui wanaelekea wapi ila kwa jinsi ninavyoona kwenye video ya leo nimeona wapo kwenye hili daraja la kijazi wanaelekea city centre.
Kuna wadau walinishauri niachane nae,,, ushauri wenu niliupoke kwa mikono yote miwili. Lakini moyo wangu bado unamwitaji huyu binti niishi nae (Wanasema true love never die) nashindwa kumuacha kila nikijitahidi kuachana naye ila naona shetani anazidi nguvu.
Nishaurini jamani ni njia gani ninaweza kuifanya ili nimsahau kabisa kama alikuwepo kwenye maisha yangu yaani nisimuazie tena ni move on ni focus na lengo langu la maisha maana nimejaribu njia zangu nimeshindwa kutokana na mitego yake anayoniweke ili niwasiliane nae na mimi sitaki wakuu #Natanguliza shukurani.
Nashukuru bro kwa kuwa umeiona hali ninayopitia kwa wakati huu angalau umenifariji nafikiria kumuacha japo nashindwa naimani nitalivuka hili piaNi nani ambae yuko tayari kuachana na mpenzi aliezoeana nae kwa zaid ya mwaka mmoja, miwili au mitatu? Hakuna na moyo huwa unauma sana inapofikia hatua hiyo ya kuachana utapitia maumivu lakini bro
Kwa afya ya moyo wako, uhai na uhuru wako usimng'ang'anie mtu ambae vitendo vyake vinaonyesha haoni umuhimu wako, ukimpenda mtu huwezi kuonyesha hadharani kuwa upo na mwanamke/au mwanaume mwingine tofauti na yeye na unafuraha huo ni usaliti wa vitendo bado tu kukwambia wanaume wanaompenda ni wengi kwahiyo wewe humbabaishi.
Nafikiria hili pia soon naiacha DuniaNimesoma maelezo yako yote ushauri ninaokupa kama utausikiliza hutojutia ukiufuata maana stress zote hutokuwa nazo na wala hutoweza kukuona fanya hivi jinyonge ufee
Lazima anukie😀😃Maji ya dagaa tena aoge😂😂😂🤔
Sawa bro ngoja niangalie namna ya kulivuka hili maana huu mtihani ninaoupitia si mchezoWe unapata pesa za kula, mwenzako anahitaji maisha ya matunuzi huoni hapo kuna shida? FUTA namba ya huyo Kima usiwe unaona status zake tafuta mtu mwenye Nia ya kupambana na maisha kama wewe, maisha yanaendelea mkuu.... Ukijiua ataacha kuliwa au?
huo ndo unyama wa kiumeni,,tafuta hela baadae aje kukutafuta kwa aibuMkuu kwanza wwnasema usimpenda sana mwanamke kama yeye hakupendi the same way wewe unavompenda kwa sababu the deep you love the deep pain you will have when sshe starts drama.
Wanawake huwa wengi hakwambii sikutaki ila huanza visa kama unavoviona, one thing you can do
1. Kubali kuwa mjinga uendelee kumega kisela jifanye hujui kila kitu anachofanya.
2. Kwa vile mwanamke haachi mwanaume aliyenaye hadi awe amepata mwingine aliye bora kuliko wa mwanzo. So jiweke uwe bora kuliko aliyenaye.
3. Move on mute status zake zote. Hii imenisaidia kumwacha mwwnamke niliye mpenda sana then yeye ndo amebaki kunifuatilia coz anaweka status za kuniumiza mm siziangalii ila kuna mtu ananipa updates
Sawa mkuu kwakuwa hujawahi kupenda ndio maana unaongea hivyoYani kwa kifupi mapenzi yanakutesa sio? Ila haya maisha yana mengi sana kweli mimi Sarakikya leo hii niteswe na mapenzi kiasi hichi? Nimejaribu kuwaza tu
Na akirudi baadae unataka umpokee vizuri tuu we jamaa hatarii.Nashukuru kwa ushauri ndugu nadhani unajua ugumu wa kumuacha mtu ulizoena naye kwa kipindi kirefu japo hapo uliponi ushauri nijiweke bora zaidi ya jana ngoja nitajitahidi kulifanyia kazi hili labda anaweza kurudi pindi nitakapo kuwa bora zaidi ya jana
Kwani hata kwa kumshauri hawezi kubadilika na kuwa mke??Kuna vitu viwili lazima ujue :-
1. Kuna mwanamke
2. Kuna Mke
Wewe hapo kwa sasa upo na mwamke,
Kunukia au kunuka sasa😃🧐Lazima anukie😀😃
NAKAZIA HAPAHizo Status zinakuwehua. Na mwenzako ashajua udhaifu wako, anakukandamiza.
Jambo dogo tu linaweza kuepusha haya, 'DELETE AND BLOCK'. Ukishafuta namba zake hutoona Status zake. Na usipoona hutopata kiweuweu.
Be gentle. Acha kulia lia.