Bado Man-U tunamatumaini

anawafariji kwamba mtachukua ubingwa ๐Ÿ˜, leo swaum ilikuwa kali ila baada ya kuona huu uzi najisikia afadhali๐Ÿ˜…
Harmful
Daku ulikula chips nini ๐Ÿ˜‚

Ila Man U kuchukua ubingwa eeh acha nicheke tu ๐Ÿ˜‚
 
Msimu huu lengo ni kutwaa ubingwa wa EPL.Yan toka nambari 15 hadi 11 ya 7 na sasa ya nne,tumeonyesha kuwa bado matumaini tunayo.lengo letu red devils ni mafanikwa na hapa EPL hamn timu yenye mafanikio kama sisi.
Gari la mkaa (Man U) Safari moja msituni inayofuata Gereji.
 
Daku ulikula chips nini ๐Ÿ˜‚

Ila Man U kuchukua ubingwa eeh acha nicheke tu ๐Ÿ˜‚
Mashabiki wa man u wamenihamisisha nisikate tamaa ile ndoto yangu ya kuwa tajiri namba moja duniani ๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ