Wanajamii kwa yote yanayotekea ndani ya serikali na mengine ya aina hiyo ambayo kikwete ndo Rais.wizi wa wazi kabisa.dhuruma, ufisadi nk.
Hivi kweli bado kuna mwenye imani na ******?kwani matukio mengi yanaonyesha ameshindwa kuongoza inchi.
wanajamii kwa yote yanayotekea ndani ya serikali na mengine ya aina hiyo ambayo kikwete ndo rais.wizi wa wazi kabisa.dhuruma, ufisadi nk.
Hivi kweli bado kuna mwenye imani na ******?kwani matukio mengi yanaonyesha ameshindwa kuongoza inchi.
tutakuwa na imani nae kwa kuangalia baraza la mawaziri atakalounda sahivi baada ya kelele zote za wezi kipindi cha serikari yake:::akiwarudisha maswahiba zake na wezi kama yule mama wa wizara ya sheria ambaye mwanzoni alifuja sana pesa za umma akiwa tamisemi::basi hapo tutakosa imaninaye atakua analinda maslahi ya wahujumu uchumi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.