WhoIsMkanwa
New Member
- Apr 25, 2022
- 2
- 5
Eti "SITAKI" nimecheka kwa saut kudadekni control ili iweje ? sperms zinazalishwa daily ili ziwe released nje, nizibanie ndani ili iweje ? sitaki
Ushkaji nimeshaacha, na hili lilikuwa kikwazo katika kufanikiwaTunaelekea 2023 hivyo ni vyema kuachana na zile za 2022.
Jichunguze kisha uwe na uamuzi sahihi.
Ni tabia gani mbaya unayohitaji kuachana nayo mwaka wa 2023 - ugomvi, kulalamika, kuahirisha, kuvuta sigara, kucheza vilabu vya usiku, ponografia, ngono ya kawaida, uraibu wa mitandao ya kijamii, kununua bila mpangilio n.k.?
Jiulize pia;
Je! ni tabia gani nzuri unayohitaji kuikuza mwaka wa 2023
- kudhibiti hasira, shukrani, kula vizuri, kufanya mazoezi mara kwa mara, kusoma kila siku, kusali kila siku nyumbani , kwenda ktk nyumba za ibada , kumaliza kazi za kila siku n.k.?
Mabadiliko ni mengi , lakini hakuna kinachoumiza kama kukwama mahali ambapo hapafai . Mabadiliko hayatakuja ikiwa tunangojea mtu mwingine au wakati mwingine. Wewe ndiye umekuwa ukingoja.
Mambo hayabadiliki, tunabadilika. Ikiwa hatubadiliki, hatutakua. Mabadiliko sio bahati mbaya kamwe. Mabadiliko si rahisi. Mambo yote ni magumu kabla hayajawa rahisi. Ikiwa hakuna mapambano, hakuna maendeleo.
Badilisha Tabia Amini unaweza kubadilika. Kisha chukua hatua za mtoto leo(anza kukua) . Fanya kazi na mshirika wa uwajibikaji. Mwamini Mungu akupe nguvu za Mungu katika safari hii.
Huwa nina tatizo hili pia toka nazaliwa, sinaga marafiki, sipendi kujichanganya na watu pia sipendi kuzoewa na watu hovyo, ikitokea mtu kanizoea naona kabisa kuna wakati ni kama hatu share hobbies inafika wakati tunapoteana tu naamua kuwa peke angu make unakuta mtu anaanza kuku spy personal life issues kitu ambacho sipendi... Njitahidi sana kujichanganya ila nafeli baada ya muda tu...Tabia ya kutokuwa na marafiki yaani mara nyingi nakuwa mwenyewe hata majirani hawajui naitwa nani na sina mazoea na mtu hata mmoja sometimes nataka kupiga stori naona watanizoea mfano ni miezi saba sasa hakuna mtu yeyote amewahi ingia kwangu
Nilikua dhaifu sana wa kumwamini kiumbe anaitwa Mwanamke matokeo yake nayajua mimi nilikua nakutwa na nini kiais kwamba matukio yalikua yananirudisha nyuma sana kiakili na kiuchumi, ila siku hizi hata nikimfuma mwanamke wangu anapigwa mtungo siwezi hata kustuka kabisa naona fresh yaani... Hii roho ya ubandindu ya kutokua na wivu wala kuamini kirahisi niliianza mwaka jana january mwanzoni mpaka sasa huwa siiamini kabisa hii jinsia hata ije na trick gani..Hasira za haraka na kupuuzia/kutojali mambo. Pia kuamini watu haraka na huruma kupitiliza. Naomba sana 2023 niziache tabia hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Washkaji wengi sikuizi wachawi tu, hawana issue man... Kazi kuchunguzana na kuchafuliana sifa (u snitch) afu mbaya ukija kufanikiwa au ukiwa na mafanikio wanageukaga kuwa ma chawa na kujipendekeza sana...Ushkaji nimeshaacha, na hili lilikuwa kikwazo katika kufanikiwa
sitii mb<><> yangu kwenye mashimo machafuAcha kabisa watoto wa kike wapo wengi tafuta mmja ,kuwa mwaminifu hakika utakuja kunishukuru
Mkuu unapotea na cjui unamaanisha nini kwamba hutakuwa kwenye mahusiano?hutakuwa na mke ili mjenge familia?sitii mb<><> yangu kwenye mashimo machafu
True, You can overcome them foreverWhat if nkikwambia unaweza control hizo reaction za mwili, watu wanajidekeza tu... you can control genye
utakuja kujuta maishani mwako. kila kitu kimewekwa kwenye mwili ili kitoke kwa utaratibu wa kawaida.napiga nyeto wala sitanii, kila siku ni bao 4 mpaka 5. na wala haili mda, ni dk moja kwa kila session
inaninyanyua kiuchumi maana sihongi + sipati magonjwa ya ajabu ajabu
Aisee mungu atusaidie nimekupita kwa experience kidogo mimi nilianza 2004! Nilianzaga hii kitu baada ya kuogopa ukimwi kupita kiasi, wakati ule kila mwanamke nilikuaga naona ana ngoma, kuna warsha ya ukimwi ndo iliharibu ubongo wangu, nikahamia kwenye nyeto,Aisee Kaka hili Ni tatizo. Tangu 2009 Hadi leo nasema nitaacha lakini baada ya siku tatu najikuta kwenye mtego ule ule
Nilidhani nipo Mwenyewe ila Nimekuja kufahamu kuwa hili Ni tatizo la kijamii. Na Ni janga la KitaifaAisee mungu atusaidie nimekupita kwa experience kidogo mimi nilianza 2004! Nilianzaga hii kitu baada ya kuogopa ukimwi kupita kiasi, wakati ule kila mwanamke nilikuaga naona ana ngoma, kuna warsha ya ukimwi ndo iliharibu ubongo wangu, nikahamia kwenye nyeto,
Hiloo mie sijui why siwezi kuachakuwaamini watu kupindukia.
ili iweje ?hutakuwa na mke ili mjenge familia?
lini iyo ?utakuja kujuta maishani mwako.
Unaweza kubadilika1.pombe
2. Outing
3. Kutofanya kitu kwa muda😩