marcus rojo
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 1,496
- 5,319
Yani mjadala wa makinikia sasa umekuwa substituted na jina la tundu lissu kwanini? Mkuu jana nae badala ya kufocus kwenye mambo ya msingi nae akaingia mkenge kuanza kumjibu lissu why?
Kwanini mnatuto kwenye mjadala, ukiingia humu katika thread kumi basi tano hadi saba zinamjadili tundu lissu who is he? Inaamana lissu ni muhimu kuliko makinikia?
Rudini kwenye issue ya msingi! Lissu ataua kabisa mjadala wa makinikia maana sio lumumba wala nyumba nyeupe wote vidole vinawawasha kumuandika lissu, magu grow up and your little cubs!
Kwanini mnatuto kwenye mjadala, ukiingia humu katika thread kumi basi tano hadi saba zinamjadili tundu lissu who is he? Inaamana lissu ni muhimu kuliko makinikia?
Rudini kwenye issue ya msingi! Lissu ataua kabisa mjadala wa makinikia maana sio lumumba wala nyumba nyeupe wote vidole vinawawasha kumuandika lissu, magu grow up and your little cubs!