Baada ya mashabiki kulalamika kwamba marefa wanahongwa kuruhusu magoli ya mchongo, sasa wapuliza filimbi hao wa mchongo wamekuja na mbinu nyingine: kudhoofisha timu kiakili na kimwili kwa kuwalima wachezaji red kadi za magumashi.
Juzi hapa baada ya kuonekana kuwa wakata miwa wa turiani wamekaza, zilipigwa red kadi mbili za mchongo, wakata kuhamaki wameishapigwa mkono.
Jana sasa ndiyo ilitia fora kwani pamoja na ihefu kukomaa hadi wakata miwa wa bagamoyo kutaka kukata roho, red kadi moja tu ya mchongo kwa ihefu iliwakata maini na kuambulia kupigwa kimoja.
Juzi hapa baada ya kuonekana kuwa wakata miwa wa turiani wamekaza, zilipigwa red kadi mbili za mchongo, wakata kuhamaki wameishapigwa mkono.
Jana sasa ndiyo ilitia fora kwani pamoja na ihefu kukomaa hadi wakata miwa wa bagamoyo kutaka kukata roho, red kadi moja tu ya mchongo kwa ihefu iliwakata maini na kuambulia kupigwa kimoja.