hamumwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2022
- 754
- 664
Hahaha kwa sababu ni mwaka wa VIROBOTO GANG hahahahaSukuma gang mtapata tabu sana
Hahaha kwa sababu ni mwaka wa VIROBOTO GANG hahahahaSukuma gang mtapata tabu sana
Kiroboto kaziniHakuna anayekula jasho la Magufuli yeye ndio amekula jasho la watanzania kwa kuiba na kujenga kwake na kwa matumizi mabaya ya fedha za umma.
Mmeambiwa MKAZIKWE NAYE!Hakuna kama Magu! Mengine ni kelele za mwiha tu
Sio vuvuzela ni kiroboto a.k.a KUNGUNI GangsLeta ushahidi vuvuzela
Shetani upo kaziniUliouandika ni upuuzi mtupu. Kwenye makinikia hakuna kilichoongezeka. Hayakuwa yanaenda nje bure kama mlivyodanganywa na yule mwovu.
Alikuwa anatafuta umaarufu toka kwa wajinga. Nimekaa kwenye sekta hii kwa miaka mingi. Mkataba aliousaini Kabudi na Barrick ni aheri hata ile ya wakati wa Kikwete.
Kitu pekee walichofanikiwa ni kuongeza mrabaha, ambao nao ukaishia kufukuza wawekezaji wengi. Leo Tanzania imeshuka kiuzalishaji toka nafasi ya 3 mpaka ya 6.
Ongezeko la mapato limetokana na kupanda kwa bei ya dhahabu Duniani, siyo jitihada za marehemu. Waulize wanaofahamu, wakuambie jinsi Magufuli alivyowaangukia Barrick, kuwabemebeleza wasiondoke. Nao wakampa masharti kibao, na mojawapo ni kwamba kwa sasa, ni marufuku Serikali kusimamisha uzalishaji wala mauzo ya dhahabu, hata kama kuna dispute.
Sasa hivi Serikali inahaha kuwarudisha au kuwatafuta wawekezaji wapya baada ya uharibifu uliofanywa na marehemu.
Tanzania plans to introduce tax intensives to attract investment in mining
DAR ES SALAAM, April 29 (Xinhua) -- Tanzania plans to introduce tax incentives to attract more investment in the mining sector, Minerals Minister Doto Biteko said on Friday.www.thestar.com.my
Wala usijali, Tanzania itasonga mbele na uhuru na amani ya Watanzania vitalindwaHahaha kwa sababu ni mwaka wa VIROBOTO GANG hahahaha
Aliye wapa bure mchanga ni nani? Na yuko wapi sasa?Watanzania wengi tu ambao ni wajinga, mbali na kina zitto na wenginewe,
Huko nyuma, tulikuwa makinikia yalikuwa yakisombwa tuu na tusijue nini ndani yake
Mmoja kapatikana wa kuhoji kutaka kujua kuwa. Je ni kweli MNA mchanga tuu bila chakachuzi?
Angalao kinapatikana kidogo kilichotokana na ujanjaujanja wa wawekezaji, mtu mmoja anatokea kusema eti fidia hiyo ni bule kabisaa!
Unajiuliza, Angelinyamaza tuu huyo aliyetaka kufahamu ukweli wa kilichokuwamo Kwa mchanga, je, hizo bilioni 600 hizi tungelizipata?
Ni sawa na wale walimtanguliza mungu wenu Ili kumlipia kisasi lisu?Lissu ni kilomo lomo. Hata mimi ningekuwa na mamlaka ningemtandika risasi za makalio.
Anastahili bakora.
Sasa kiranga komo. Alichokipigania hata hakieleweki.
Unataka serikali ndiyo ikuletee ugali mezani kwako ule? Mawazo mfu kabisa.Hospitali hazina watumishi wala Dawa, sgr ni ujinga tu, barbara tunakula, madaraja ni upuuzi mwingine pia. Jali watu sio vitu. Ulimsikiliza mzee Wasira juzii? Acha uchawa!
Ubunge ndio unaomtesa akiongeza na udini shida tupuQoomah kama Huyo kabwela walikosa ulaji awamu iliopita ukijumlisha na machungu ya kuzibwa midomo wanaharisha tu sasa
Pole sana ndugu,Mara ni mkoa wa Baba yako aliyekusababishia upate uhuru wa nchi na kuja kujamba jamba hapa JF na hizi pumba zako
Nyumbu utawajua tuHakuna anayekula jasho la Magufuli yeye ndio amekula jasho la watanzania kwa kuiba na kujenga kwake na kwa matumizi mabaya ya fedha za umma.
LABDA huyu atasaidia kumfufua ili tu awarudishie ufahamuMisukule ya ufipa Haina jema...
Hiyo bilioni 600, nyingine imekuja kijijini kwenu kujenga kile kibarabara cha changalawe kilichppita kwa mangi pale, pumbavu tafadhari usikanyage mguu wako pale!Uliouandika ni upuuzi mtupu. Kwenye makinikia hakuna kilichoongezeka. Hayakuwa yanaenda nje bure kama mlivyodanganywa na yule mwovu.
Alikuwa anatafuta umaarufu toka kwa wajinga. Nimekaa kwenye sekta hii kwa miaka mingi. Mkataba aliousaini Kabudi na Barrick ni aheri hata ile ya wakati wa Kikwete.
Kitu pekee walichofanikiwa ni kuongeza mrabaha, ambao nao ukaishia kufukuza wawekezaji wengi. Leo Tanzania imeshuka kiuzalishaji toka nafasi ya 3 mpaka ya 6.
Ongezeko la mapato limetokana na kupanda kwa bei ya dhahabu Duniani, siyo jitihada za marehemu. Waulize wanaofahamu, wakuambie jinsi Magufuli alivyowaangukia Barrick, kuwabemebeleza wasiondoke. Nao wakampa masharti kibao, na mojawapo ni kwamba kwa sasa, ni marufuku Serikali kusimamisha uzalishaji wala mauzo ya dhahabu, hata kama kuna dispute.
Sasa hivi Serikali inahaha kuwarudisha au kuwatafuta wawekezaji wapya baada ya uharibifu uliofanywa na marehemu.
Tanzania plans to introduce tax intensives to attract investment in mining
DAR ES SALAAM, April 29 (Xinhua) -- Tanzania plans to introduce tax incentives to attract more investment in the mining sector, Minerals Minister Doto Biteko said on Friday.www.thestar.com.my