Bachelor of science in tax management

Bachelor of science in tax management

Hao watu wa Tax management mm najua wanafanya kazi TRA tu!
 
ya hovyooooo. .ajira hakuna labda ujiajiri kwa kufuga kuku maana huwez kujiajiri kwa kukusanya kodi za wananchi
 
atakuwa tax consult
Kwa ushauri wangu kama unaplan kujiajiri angalia kitu ambacho kina uwigo mpana wa kufanya kazi, sio kwamba nakukatisha tamaa ila kuna kazi nyingine kama ajira serikalini hamna unapata kigugumizi kidogo.Jaribu pia kuulizia watu waliosoma field hiyo uone wameajirikaje. Sijaelewa kama tax consult ni private employment na ili uwe unatakiwa kuwa na vigezo gani kama kuna kujiregister mahali nk. Kiukweli suala la kukusanya kodo limekaa kiserikali zaidi na sio kiprivate
 
Kwa ushauri wangu kama unaplan kujiajiri angalia kitu ambacho kina uwigo mpana wa kufanya kazi, sio kwamba nakukatisha tamaa ila kuna kazi nyingine kama ajira serikalini hamna unapata kigugumizi kidogo.Jaribu pia kuulizia watu waliosoma field hiyo uone wameajirikaje. Sijaelewa kama tax consult ni private employment na ili uwe unatakiwa kuwa na vigezo gani kama kuna kujiregister mahali nk. Kiukweli suala la kukusanya kodo limekaa kiserikali zaidi na sio kiprivate
auditing firm je
 
soma dogo hiyokozi tamu sana tena nenda Chuo cha kodi usomee tax and custom mgt hutajuta ,then omba kibali cha kuwa taxconsultant utapiga hela hatari
 
Kuna possibility za kupata mkopo kwa hii course wadau? Msaada plz
 
Ni nzuri kama unapenda kusoma yaan yenyewe tu haitoshi , ukimaoiza kasome cpa or acca hapo utakua vizuri zaid au soma post graduate diloma in Financial Mgt
Unaweza kua Accountant, auditor, tax consult, Financial Management Officer, Customs officer, Preventive officer etc.

Au Anza na bachelor in Accounting alaf umalize na post ya tax.

Ni h a y o t u.
 
Back
Top Bottom