Kozi hii inahusu masuala mbali mbali ya kisayansi, na ukifanikiwa kuhitimu unaweza kufanya kazi katika fani za ufugaji nyuki,Uvuvi,Wanyamapori,Elimu,mifugo,kilimo,viwanda,taasisi Kama TFDA,TBS,Mkemia Mkuu wa Serikali, na taasisi za utafiti few to mention