Ndio kuhusu mshahara pamoja na majukumuMkuu zote ni nzuri ndo maana zipo, labda ungespecify uzuri kwenye nini, mshahara, majukumu au kwajicho la jamii so be clear man!
Mkuu zote ni nzuri ndo maana zipo, labda ungespecify uzuri kwenye nini, mshahara, majukumu au kwajicho la jamii so be clear man!
Kwa nini mkuu?, je changamoto ni upatikanaji wa ajira au mshahara wake uko kima Cha chini?Nakuonea huruma ukienda soma Education
Inategemea na hiyo bsc.kama ni physics na maths,somaSoma unachopenda wewe lasivyo utajutia baadae
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo jf ndio mnaniachaga hoimaofisa misitu kazi yao ni kuzuia mkaa wa magendo tu.
Ukiona huwaelewi ujue ndo ushawaelewa maana hawEleweki.hapo jf ndio mnaniachaga hoi
.we ni forester mkuu?Uchaguzi upo kwako.
Kama ni mishahara ipo sawa kulingana na level ya elimu uliyonayo.
Forestry posho zipo zipo ukilinganisha na Education.
Zote upatikanaji wake wa ajira hausumbui, Kwa upande wa Forestry ni chuo kimoja tu Tz kinachoofa degree kwa hiyo course (SUA), na FTI/Olmotonyi (Arusha) kwa certificate na diploma. Hivyo ajira huwa zikitolewa huwa wanahitajika watu 100+.
Mazingira ya kazi kwa Forestry kidogo sio ya lelemama hasa upande wa doria.
(A forester must be tough and rough but not dirty).
Usipokuwa mwadilifu katika kazi forestry ni kazi yenye risk kubwa tofauti na education.
Kwasasa upande wa forestry kuna mafunzo ya ukakamavu na uzalendo kupitia jeshi USU, hivyo ukishaajiriwa hilo halikwepeki.