Yaah kama nilivyosema kuna vyuo vingine huwa na degree ya miaka 4 ila unaweza kuishia mwaka wa tatu nakupewa degree ya kawaida , alafu ukimaliza mpaka wa nne unapewa hons , vyuo vingine miaka mitatu gpa ikiwa mbovu hupati hons , vingine miaka minne lakini gpa ya mwaka wa mwisho ukizingua hupati hons , yaani ni mchanganyiko kutegemea na uliposoma ( nchi ) , pamoja na chuo chenyewe pia , hivyo hons zinasifa tofauti inategemea na mahali na chuo ulichosoma