System yao haipo vizuri mdogo wangu walimtumia email kuwa hajamiti diploma requirements sababu haku apload NTA level 4. Ila cha achab kuna wenzake hawakuweka na hawajatumiwa email na pia kwwnye hii orodha hawapo.
angalia taarifa ka zimethibitishwa, labada pengine matokeo hayajakamilika semister 6,wasiliana na DS chuoni kwako au wafate ofisini kwao, ka upo mbali wapigie simu