"Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

My life goals, nitamfundisha dear daughter kuwa yeye sio kundi maalum. Ni binadamu kamili ambaye hatakiwi kuwa tegemezi kwa basic needs kama mlo na muonekano. Kiufupi mwanaume ni patner na sio solution ya matatizo madogo kama hayo

Na huu sio msimamo wangu ila ni maisha waliyoishi bibi, shangazi na mama zangu. Kwa hiyo asitafute laana yao
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
😹😹
 
Pamoja na hayo hebu wanawake mpunguze kuombaomba , mbona hamusemi kuhusu wanawake wanaowapendezesha wanaume zao pia? Tatizo mmekariri kuwa wanawake Tu ndio mnapaswa kupendezeshwa, na kusifiwa siyo dhambi na siyo kila anayekusifia awe amechangia wewe kupendeza, achane hizo Mambo bwana
Mwanamke ni ua muda wote linahitaji maji ili lizidi kuchanua
 
My life goals, nitamfundisha dear daughter kuwa yeye sio kundi maalum. Ni binadamu kamili ambaye hatakiwi kuwa tegemezi kwa basic needs kama mlo na muonekano. Kiufupi mwanaume ni patner na sio solution ya matatizo madogo kama hayo

Na huu sio msimamo wangu ila ni maisha waliyoishi bibi, shangazi na mama zangu. Kwa hiyo asitafute laana yao
Wajibu wa mwanaume siyo kukwepa majukumu,mpendezeshe msifie
 
Unakuta upo kwenye mahusiano na mwanaume,kazi yake kusifia unavyopendeza
Ukimuomba kitu fulani,kiasi fulani cha fedha danadana nyiiiingi,vuta subira
Ukipita au ukienda kwake au akikuita hotel fulani au ukipost picha*Masifa kibao*

Wanaume sifia mtu wako Kama umemuwezesha kupendeza,tunaona kinyaa kunisifia kupendeza huku hakuna ulichochangia kwenye urembo wangu au asilimia zako ni ndogo sana kwenye kunipendezesha
Unapata wapi nguvu za kumsifia mwanamke na hukuchangia chochote kwenye urembo huo? Ni aibu na mnaboa na mnakera
Msifie mwanamke uliyeajibika kumpendezesha kwa asilimia 100,tunajisikia raha sana na kupendwa

Kona ya Bwiru
Wewe badala ya kufikiria namna ya kutafuta maisha.unawaza kusifiwa umependeza utakua mzigo sana wewe.
 
Back
Top Bottom