Nasikia huyu boss wa Tip top connection ni mchawi balaa.... huwa anatembea na kibegi chake hivi hakiachi hata awe anaenda wapi..
Jaribu kuchunguza hata wewe.. msanii yeyote atakayeingia tiptop na baadae kujitoa ndo unakuwa mwisho wa career yake, yaani lazima apotee hata kama atajitahidi vipi.. angalia MB DOGG, PNC, Z ANTO, PINGU, KEISHA na sasa KASSIM ambae ameondoka juzijuzi huyu bado anasikika kiaina ila inasemekana muda c mrefu atachuja.. chunguza
Jaribu kuchunguza hata wewe.. msanii yeyote atakayeingia tiptop na baadae kujitoa ndo unakuwa mwisho wa career yake, yaani lazima apotee hata kama atajitahidi vipi.. angalia MB DOGG, PNC, Z ANTO, PINGU, KEISHA na sasa KASSIM ambae ameondoka juzijuzi huyu bado anasikika kiaina ila inasemekana muda c mrefu atachuja.. chunguza