Kwani kashusha bei za bidhaa na matatizo mengine tunayoyapata?
Me wala hata haijanipa relief maana gharama na ugumu wa maisha viko pale pale....kila nikilipa bili ya umeme nawakumbuka dowans, kila nikinunua sugar namuona JK..........
Ki ukweli hakuna relief kwenye tumbo langu wala ubongo wangu japo kweli kwenye magazeti mambo yamebadilika lakini sio kwenye tumbo langu wala matata mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.