dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,404
- 15,988
Mtoto wa hayati baba wa taifa Andrew ameonekana kwenye kikao Cha chadema kilichoketi leo mitaa ya sanawari kwa ajili ya kuratibu maandamano
Nitoe Rai tu nikweli huyu bwana Ni mkorofi na jeuri ila asitezwe na kunyanyaswa asikilizwe na asipuuzwe na mamlaka
Jamaaa ameona udhalimu wa serekali hi ameamua kujiunga chadema kupigania katiba mpya
Nimefarijika Sana kumuonaaa mtoto halali wa baba wa taifa nae akipigania mabadiliko
Kudos Andrew
Nitoe Rai tu nikweli huyu bwana Ni mkorofi na jeuri ila asitezwe na kunyanyaswa asikilizwe na asipuuzwe na mamlaka
Jamaaa ameona udhalimu wa serekali hi ameamua kujiunga chadema kupigania katiba mpya
Nimefarijika Sana kumuonaaa mtoto halali wa baba wa taifa nae akipigania mabadiliko
Kudos Andrew