massamnoel
New Member
- Nov 5, 2015
- 2
- 0
Kila la heri
kwa hiyo unakubali kwamba walipelekwa na wakafanyiwa hiko kitendo....
Mbona unatetea uchafu wewe .. Au ushaanza kuingiza siasa pia...?
Hivi kuna watanzania wangapi jela??Kwanini kila siku ni hawa WAKONGO??Kwanini serikali ya Tanzania na KONGO Wasibadilishane wafungwa ili hawa wakafungiwe huko kwao.Hivi kama wakiachiwa wazazi wa wale watoto watajisikiaje??!Mimi ninawashauri watu kufanya kazi kwa juhudi na maarifa.Uganga haulipi
daaah kama kwel awakutenda kosa ilooo bc walio mfunga wote walaaniwe na MWENYENZI MUNGU
HahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaYaani Hasira Za Kumegewa Demu Ndo Ukawatendee Hivi Wenzio....? Daah Mkwere Sio Poa Hivyo...
Wewe fisi unatafuta nini humu?Hawa wamekaa jela mpaka wameanza kuchanganyikiwa,kwa hyo wanadhani hyo mahakama ya africa inaweza kutengua hukumu ya mahakama ya rufaa?
Hiyo mahakama haina mamlaka yoyote dhidi ya mahakama ya rufaa sana sana ni kutoa ushauri tu. Hata hivyo hii kesi ni kweli watoto wale waliumizwa sana ndio maana TAMWA akina Ananilea Nkya walisimama kidete kupata conviction kwa akina babu Seya ambao ni kweli wamewaharibu wale watoto.
kulikuwa na mengi ya kushughukulikia tofauti na hiyo makitu....mawakala wanafanya nini vituoni?ukitaka ujue mahakama zetu si huru angalia kesi ya mita200 kesi imerushwa mpaka ijumaa jioni hukumu ndio yatoka nawakati ililetwa na hati yadharura ilitakiwa iwe fasta. babu seya wanamuonea watoto walitoa ushahidi wameliwa na familia nzima mbona wamewatoa wawili? ushahidi was mangi mbona hakimu alikataa
Nilivyomuelewa ni kwamba anauliza kama ni kweli iweje yule mwalimu aliyedaiwa kupeleka watoto asiadhibiwe? Na yuko wapi huyo mwalimu? Alifukuzwa kazi au la?kwa hiyo unakubali kwamba walipelekwa na wakafanyiwa hiko kitendo....
Mbona unatetea uchafu wewe .. Au ushaanza kuingiza siasa pia...?
SMAANISHI HAWATAKIWI KUDAI HAKI ZAO.ILA NINACHOSHANGAA NI MIBONGO AKILI NDOGO INAONA KAMA HAWA WATU NI MITUME VILE.WENGINE NI AGENDA ZAO KISIASA....kwani wakongo ndio hawatakiwi kudai haki zao wanapoona hawajatendewa haki?! kama una ndugu zako huko jela wao wameridhika kukaa huko japo wanaona hawakutendewa haki,wacha waendelee kukaa, sio kupayuka tu kama zoba!