Babu loliondo na stone age period!!!!!

kunyweni dawa,theres no problem in trying alternative medicine,afterall haicost kitu zaidi ya jero,kama haifanyi kazi then unaangalia ustaarabu mwengine at least umejaribu lakini....:smash:
Unaangalia ustaarabu mwengine when ur dead already, sikatai watu wanywe lakini waendelee na dawa zao za hospitali jamani.
 
kunyweni dawa,theres no problem in trying alternative medicine,afterall haicost kitu zaidi ya jero,kama haifanyi kazi then unaangalia ustaarabu mwengine at least umejaribu lakini....:smash:

Roselyne,

What if huo mti ukawa na sumu fulani inayodhuru mwanaadamu, au maji wanayokunywa yana vijidudu fulani, au mazingira ya maji yanweza kuleta maradhi fulani je ikitokea janga mtasemaje? Na tukianza kubeza mambo kama haya nakuhakikishia tunajiandaa na janga kwani ataibuka tu mtu na kuwaambia wafuasi wake kuwa ametumwa na mungu na wanatakiwa wafe ili waende kwa mungu sijui tutazungumza nini hapo!
 

Jiulize kwanini mungu alimuacha mtume Mhamad afanyie shughuli zake jangwani (uarabuni) kwenye ukame watu walipata tabu ya maji kwanini asinge mwamishia tukuyu kwenye maji na mvua through out the year? (MUNGU HAPANGIWI JINSI YA KUFANYA KAZI)
 
Unaangalia ustaarabu mwengine when ur dead already, sikatai watu wanywe lakini waendelee na dawa zao za hospitali jamani.

mnh wengi wanaoenda, dawa za hospitalini washajaribu sana tu,wanachofanya ni kujaribu kuona hio dawa itawafaa,with time mtu atajua kama inamfaa au haimfai ili aswitch back kwa madawa ya hospitalini!,kila mtu na afanye analoona linamfaa ukifa in the process hayo ni matokeo hizo dawa za hospitalini sio kwamba ukitumia hufi!
 

Wewe kama sio Kakobe basi kakutuma. Mimi nachojua sio lazima kwenda kwa babu kama unaona mazingira hayo usiende wewe na ndugu na jamaa zako. Nilikua napita tu
 
Gazeti la The African la leo limeandika kwamba network moja inayoshughulikia wale wenye kuishi na HIV/AIDS iitwayo NURU inapinga tiba ya ajabu ya babu huyu na imesema tiba yake haina scientific proof na hivyo inaweza kuwasukuma watu wakaanza kubadilisha behaviour kwa kushiriki tena ngono bila kinga.

Halafu kuna wasiwasi kwamba nchi zinazotufadhili kwa madawa ya ARV wanaweza kusitisha kuendelea kutoa misaada hiyo kwa kuwa dawa tayari imepatinakana. Na kama hii tiba itakapojulikana hapo baadaye kuwa ni fix tu watakataa tena kutupa misaada ya dawa hizo.
 


mnh hapa hatuongei tu kinadharia bila kuwa na outcome/results ya hio dawa,tunao real people walioPONA kutokana na hio dawa,so kusema/kuassume hio dawa ina madhara ni sumu nadhani tunakosea...so far hakuna aliyekunywa AKAFA?i dont expect hio dawa iwe perfect 100% sababu hata hizi dawa za hopitalini zina side effect ,ila kama inaponya sioni sababu watu wawe denied kuinywa,kuna kufa na kupona hata kwa dawa za hopitalini...ni kugamble tu!:juggle::juggle:
 

Zubeda ;

Tujikumbushe kidigo hoja ... hiyo kwenye red...

...and am coming back soon!!

GONGA HAPA ..https://www.jamiiforums.com/jf-doct...wa-loliondo-afanyie-shughuli-zake-arusha.html
 

Tunaomba mtuambia hao walioopona kina nani na walikuwa na magonjwa gani mwanzoni na sasa wamepona?
 

Tena mavidonge yenyewe meengi ukikoroga ugali washiba!
 
Watu wanakula vyakula ovyo bila mpangilio na kunywa pombe kila saa huku wakikamilisha kwa ngono hatari wataacha kuuguwa? halafu wanataka kunywa kikombe kimoja cha dawa ili wapone!! hakuna njia ya mkato, watu waache kubugia ovyo na mazoezi sana ili kuhifadhi afya zetu! yaani Watz tnavyopenda vya mteremko!!
 
.....pindi Mwenyeezi Mungu akiamua jambo huliamuru "kuwa" na kisha huwa (likifuata kanuni zote za kimaumbile)...ametukuka kwa sifa za uumbaji
 
Jiulize kwanini mungu alimuacha mtume Mhamad afanyie shughuli zake jangwani (uarabuni) kwenye ukame watu walipata tabu ya maji kwanini asinge mwamishia tukuyu kwenye maji na mvua through out the year? (MUNGU HAPANGIWI JINSI YA KUFANYA KAZI)

acha kuibua ushabiki wa kidini hausaidii chochote jibu hoja kama huwezi sio lazima, mtoa mada hoja alizotoa hazikuegemea dini, sasa wewe huko unakokwenda mi naona kwengine wala hakuhusiani kabisaa na mada hii. Jamii iliostaarabika haiwezi kuishi kwa ndoto za viongozi wa dini, akina Kibwetere walianza hivyo hivyo
 
we zubeda sijakuelewa...........................waaaacha watu wanywe dawa
 

Kwa nini Yesu alikuja kuzaliwa kwenye familia masikini ya Yusuph kwanini asiende kuzaliwa ktk familia za kifalme kwa kipindi kile?? Mwache Mungu aitwe Mungu yeye hujiinua pale usipotarajia na ana makusudi na loliondo
 
Zubeda acha polojo nenda kwa babu kapate kikombe usione aibu..................siasa na imani wapi na wapi?
 
Zubeda hapana! Wezangu wengi wamechangia vyema kabisa kukukosoa katika hili. Fahamu kuwa karibu dawa zote duniani zinatokana na miti! Hao watafiti wa kimangaribi unaowasemea wamechukua miaka mingi kutafiti hiki na kile kupata hizo dawa zao. na usisahau unawapigia debe haw a ma multinationals ambao wana hati miliki ya karibu kila dawa inayotengenzwa hapa duniani. Ujio wa Babu ni tishio kwao kwa hivyo watatumia kila mbinu ku-waterdown hii tiba kwa kuwatumia watu mbali mbali ukiwemo! Babu natumia simple technology tu na unaiona kwa macho unavyokuchemshia, anakuchotea ananuizia maneno yake alivyooteshwa na kukunywesha basi! Kwako wew mpaka upite kwenye vifaa maalum. Tuliozaliwa miaka ya huko nyuma hii ndiyo inaeleweka vizuri zaidi. Mimi ni mkatoliki naamini padre anaponipa komunyo ananiambia Mwili wa Kristo nakuipokea! Kwa hivyo haya anayoyafanya Babu kwa yeyote anaekubali tiba yake imani yake itamponya. Tuawache Watanzania wapate hii tiba mbadala. Mjomba wangu ameenda matatizo ya moyo Kapona kabisa na vidonge alivyokuwa akitumia kaacha.Zubeda Upoo?
 

sasa kama hizo za kisasa zimeshindwa?inakuaje hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…