Usiwe na wasiwasi nitakuletea kikombe mpaka mlangoni,
Kwanza hakikisha simu yako ina zaidi ya shilingi elfu tano na mia tano. kisha,
Piga simu hii *101*(hapa weka namba yangu si mnaijua?)*5000#. Kisha chukua kikombe unachonywea chai, mimina maji, fumba macho kunywa. Amini ni mimi nimekuletea mpaka mlangoni utapona.