Ufunguo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 330
- 231
ndio maana mnaitwa nyumbu.
Hivi unajua Mama ameakuwa mwanachama wa CCM toka lini?
Kwahiyo?. Ndo maana amekuwa alivyo. Ni matokeo ya Mfumo wa Chama chake. Huna tofauti na mtu anayesema amekomaa kiroho eti kwa kuwa amekuwa kwenye Dini yake tangu utoto!