Babadiliko kwanza,CCM ife kwanza,mengine baadae

Babadiliko kwanza,CCM ife kwanza,mengine baadae

RUV ACTVIST.

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2012
Posts
472
Reaction score
111
Nakubaliana na wanaotaka uadirifu,nakubaliana na wanaokataa ufisadi.....lkn tulipofika sasa,CCM lazima ife kwanza.....mengine tutajadiliana baadae
 
La Muhimu Punda Afe kwanza then Mambo mengine tutajadiriana bila Kulindana.." Let Us Chase the Hyna First, and then We'll come back to Warn the Hen from Wondering Into the Forest"
 
Hayo mengine ya baadaye ni yapi?maana huo ufisadi ndiyo moja ya jambo lililotufanya tufike hapa halafu unasema tusiyaangalie hayo kwanza tuitoe ccm. Sasa kama ni hivyo hiyo ccm tunaitolea nini?
 
Hayo mengine ya baadaye ni yapi?maana huo ufisadi ndiyo moja ya jambo lililotufanya tufike hapa halafu unasema tusiyaangalie hayo kwanza tuitoe ccm. Sasa kama ni hivyo hiyo ccm tunaitolea nini?

Lengo la kuitoa ccm ni kutowachulia hatua mafisadi na kuyafuga
 
la muhimu punda afe kwanza then mambo mengine tutajadiriana bila kulindana.." let us chase the hyna first, and then we'll come back to warn the hen from wondering into the forest"

yes mkuu hamna namna
 
Nakubaliana na wanaotaka uadirifu,nakubaliana na wanaokataa ufisadi.....lkn tulipofika sasa,CCM lazima ife kwanza.....mengine tutajadiliana baadae

Mtu mashuhuri wa mabadiliko duniani Rais Obama alisema "Change will not come if we wait for some other person or some other time. We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek". Naamini 'RUV AVTVIST' unajua tafsiri na undani wa ujumbe huo! Mwl Nyerere katika maudhui hayo, na mapema kabla ya Rais Obama, aliwataka Watanzania wajiulize wameifanyia nini nchi yao. Umejiuliza, kabla hujapost huo ujumbe wako?
 
Vyama vya upinzani vinatakiwa kufanya kazi kukiondoa chama tawala madarakani lakini vya ukawa vinasema jukumu ni kuia CCM.kulikoni?au ni ule mkakati wa mabeberu kufuta historia?
 
Ni lazima hili jumba la mafisadi livunjjwe kwa wanaokumbuka hadithi ya Mbutolwe mwana wa Umma wataelewa kwani CCM ni chaka aka mazalio ya mafisadi ,fisadi yeyote unaemjua wewe basi chimbuko lake ni huko CCM ,sasa kama hatujaiondoa CCM ,watakunywa hata gesi na ndio wanayoikodolea macho.

CCM waondoke kabla hawajaondolewa ,naamini wameshakaa tayari kuyakubali matokeo ya kushindwa vibaya sana.
 
Ni lazima hili jumba la mafisadi livunjjwe kwa wanaokumbuka hadithi ya Mbutolwe mwana wa Umma wataelewa kwani CCM ni chaka aka mazalio ya mafisadi ,fisadi yeyote unaemjua wewe basi chimbuko lake ni huko CCM ,sasa kama hatujaiondoa CCM ,watakunywa hata gesi na ndio wanayoikodolea macho.

CCM waondoke kabla hawajaondolewa ,naamini wameshakaa tayari kuyakubali matokeo ya kushindwa vibaya sana.

Kundi lililotoka CCM haliwezi kuleta mabadiliko kamwe. Kama wanazo fikra chanya za mabadiliko watwambie hadharani walifanya nini wakiwa madarakani chini ya CCM japo hata zile walizofikiria wakazuiwa kuzitekeleza! Hilo hawana ndiyo maana kwenye kampeni wanabaki kulaumu wenzao waliobaki CCM kana kwamba hawakuwa wanashiriki kwenye maamuzi!

Bahati mbaya waanzilishi na viongozi wa vyama vya upinzani wameonyesha siyo tu kutokujiamini ila hawako tayari kuongoza nchi pamoja na tamaa kubwa ya kufanya hivyo. Ushahidi ni wao kujitambukisha kama UKAWA wakijua si chama cha siasa. Ushahidi mkubwa ni kwa kuweka waliotemwa CCM kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mwaka huu. Haingii akilini kwa CHADEMA, iliyojitambulisha kama chama kikuu cha upinzani kumweka Lowasa (toka CCM) kuwa mhombea wao wa Urais na Duni (toka CUF) mgombea mwenza!

Hakuna mbadala wa CCM kwa sasa. Vyama vya upinzani virudi kwenye meza ya kujipanga vyema.
 
Back
Top Bottom