TANZIA Baba yake Ally Mayay afariki dunia kwa ajali Tabora

TANZIA Baba yake Ally Mayay afariki dunia kwa ajali Tabora

ukiandika kwa kiswahili tukaelewa sisi waarabu koko wa nanyumbu utakuwa umeonekana mshamba sana? Watanzania tuipende lugha yetu ya kiswahili.
Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwa Hakika kwake yeye tutarejea
 
Vyeo vinatafutwa nilijua uchaguzi wa TFF hautakwenda bure

USSR
Unaona mbali sana! Treni, sio kama magari, yaani yapo mengi barabarani. Na treni ina njia yake maalum. Sasa, unakatiza kwenye njia yake, haulioni mpaka likufikieee?
 
Hata bila ajali hiyo ,mayai angekuwa rais wa tff ,kulikuwa hakuna ulazima
 
Inasikitisha unafiwa halafu wanakuja washirikina na kuanza kukuzushia ujinga.
 
Doh..!

Hivi kumbe kuna ukomo wa kuishi hii dunia??

Inauma sana

RIP baba yake Mayayi
 
Back
Top Bottom