mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
nahitaji kujuzwa warembo masingo waliopo humu.baada ya mbio zangu kwa elizabeth dominic kugongo ukuta sasa nahtaji wakunituliza.lakini naogopa kuvamia wenye ndoa zao nisije pandikiziwa zinga la bush mie.tafhadhali baba v na kamati yako ya mahusiano naomba ushirikiano wenu.nb.kama yupo aliye singo anakaribishwa kwenye kisiwa cha malavidavi.
Wenu
Mkiva
Wenu
Mkiva