Baba:- Unajua Tizo juhudi zako katika masomo hazitoshi, Mwalimu Nyerere alipokuwa na umri kama wako alijua kusoma na kuandika ndiyo maana walimpandisha madarasa haraka haraka..
MTOTO:- Unajua Baba juhudi zako katika maisha hazitoshi, Mwalimu Nyerere alipokuwa na umri kama wako alikuwa ni Rais wa nchi tayari....