Baba na mwanae

The Grandson

Member
Joined
Nov 15, 2014
Posts
13
Reaction score
5
Baba:- Unajua Tizo juhudi zako katika masomo hazitoshi, Mwalimu Nyerere alipokuwa na umri kama wako alijua kusoma na kuandika ndiyo maana walimpandisha madarasa haraka haraka..

MTOTO:- Unajua Baba juhudi zako katika maisha hazitoshi, Mwalimu Nyerere alipokuwa na umri kama wako alikuwa ni Rais wa nchi tayari....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…