infantrier
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 343
- 126
Hapa umefafanua vizuri , lakini pale juu alipokunakili Pretta ni tafauti na ufafanuzi huu, tafadhali rekebisha pale.2. Baba naishi na watoto waliopatikana kwa mama mbalimbali, hapo aliwazalisha yeye.
3. Mama anaishi na watoto aliozaa kutoka kwa vidume mbalimbali.