Sijui utamaduni wenu huko ila huku sisi wasukuma Og achana na wasukuma wa mchongo.Hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa, Baba mkwe wangu ananidai Mahari Nimalizie Nusu iliyobakia shilingi Milioni moja na Mimi kwasasa Mambo Magumu na tulikubaliana Mwezi huu wa kumi na mbili sasa Mambo yangu bado siyo Mazuri na uwezo wa kumpa hiyo Milioni hakuna ila nina Nusu yake, Shida ni jinsi ya kumpigia simu na kumueleza inaonekana yeye anahitaji Milioni
Kwasasa anampigia simu mwanae na kumuulizia na Mke wangu kila siku ananiuliza umempigia simu Baba yani mpaka wakati mwingine nakua na hasira, Najiuliza Je, nimpigie simu nimwambie kiasi nilichonacho na Je, akigoma kuchukua nitafanyeje?
Naombeni Ushauri wenu maana wakati mwingi nakua na mawazo.
😅 Sio upotee kama siku ile, mkaniachia Raha zote mwenyeweNipo makini sana Leo nataka niingie mwakani kwa Amani 😅😅😅
Bila kuvimbishwa uso nisingepata hii bahati asante dosho12 😅Wa kishua ndio wenyewe mkuu 😅😅
🤣🤣🤣inabidi tuongezee hii kama aina mpya ya malipo😁 Lipa kwa odds
Subl mech ya Tanzania vs Morocco, mpe morocco ashnde na goli mbili, mpe na Egypt ushndi kwa Benin, Madrid double chance na arsenal double chance, mech zote wikend hii, weka mzigo wote odds 3 hizo, mech kuisha umpe mzee M yake, bakisha laki tano fanyia mambo yako!Mpelekee hiyo nusu half muongezee na odds mbili za uwakika
Ushamaliza deni
Mtoa mada anafeli wapiSubl mech ya Tanzania vs Morocco, mpe morocco ashnde na goli mbili, mpe na Egypt ushndi kwa Benin, Madrid double chance na arsenal double chance, mech zote wikend hii, weka mzigo wote odds 3 hizo, mech kuisha umpe mzee M yake, bakisha laki tano fanyia mambo yako!
Hapo sasa!Mtoa mada anafeli wapi
Nimeongea nae kaikubali ila sasa bado amenibana kwa kuniuliza nitamalizia lini kiasi kichobakia, kabla ya hapo alisita kuchukua kwakusema mbona kiasi ni kidogo ingekua Vizuri niongeze angalau ifike laki 7.Acha uoga ww mpe iyo iyo mwabie ndio uliyo nayo kwa sasa hawezi kataaa labda awe kachanganyikiwa
Kwanini?Kwanza huyo baba mkwe Hana adabu
Kama huyuR.I.P in advance.
Kama umeanza kuchanganyikiwa kitanzi kinakuja
Mbona mimi baba mkwe msukuma ananidai mahari kama songesha 😂next time akinipigia natia blockSijui utamaduni wenu huko ila huku sisi wasukuma Og achana na wasukuma wa mchongo.
Sisi huku ukitoa mahali ya kuanzia tu inayobaki mkwe huwa haidar yeye kama yeye bali hutuma wazee walewale walikuja kuchukua mwanzo ile mahali.
Huongei naye direct kuhusu mahali mnaweza ongea hata lisaa kwa simu lakini kamwe hawezi kugusia baki ya mahali. Bali wazee wa mwanzo kabisa ndo watakudai mahali.
Na hao usiogipe kuwaambia ukweli wako wote waeleze A-Z kisha watafikisha ujumbe kwa mkwe wako.
Ukiona mzee anadai mwenyewe ongea na mke wako aongee na mama yake amueleze kisha mama mkwe wako atafikisha ujumbe ikulu chamwino au magogo.
Ikiona mbinu hiyo haifui dafu mwambie mkeo hela sina na mzee hanielewi ili nisigombane nae rudi kwanza home kwenu nijipange(usiogope hata enda akienda umeshachokwa mbaya)
Ukiona kaenda wala usijishughulishe kumuambia aje wala nini piga kinya hadi akutafute wewe.
Mzee akikucheki mwambie mzee bado sijafanikiwa.
Usiogope kupata wala kupoteza bro mchane mzee ukweli kuwa huna kwa sasa iliyopo ni 500k hta mkeo anaju
Lipa hiyo mahari uishi kwa amani! Ingawa mahari huwa haidaiwi kihivyo mpaka mtu uteseke. Sisi baba alidaiwa na babu mpaka wakasahau! Tusidharau mila za watu!Hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa, Baba mkwe wangu ananidai Mahari Nimalizie Nusu iliyobakia shilingi Milioni moja na Mimi kwasasa Mambo Magumu na tulikubaliana Mwezi huu wa kumi na mbili sasa Mambo yangu bado siyo Mazuri na uwezo wa kumpa hiyo Milioni hakuna ila nina Nusu yake, Shida ni jinsi ya kumpigia simu na kumueleza inaonekana yeye anahitaji Milioni
Kwasasa anampigia simu mwanae na kumuulizia na Mke wangu kila siku ananiuliza umempigia simu Baba yani mpaka wakati mwingine nakua na hasira, Najiuliza Je, nimpigie simu nimwambie kiasi nilichonacho na Je, akigoma kuchukua nitafanyeje?
Naombeni Ushauri wenu maana wakati mwingi nakua na mawazo.
Mkuu kuwa na heshima na wake za watu! Utamwitaje mke wa mtu furushi?Mahari haimalizwi,akigoma mrudishie furushi lake akalilishe yeye.