Baba mdogo wa mume wangu amekasirika mimi kumkiss mume wangu


Weka picha
 

Sio mbele ya wageni tu mkuu hata mbele ya watoto. ujinga gn huu et uzungu ndo maana watoto wengi wameharibika, mambo ya chumbani yanawekwa hadharani na ya hadharani ndo yanafichwa chumbani!! God have mercy with us
 
Tueshimiane,niko kwangu sijakwenda nuymbani kwake au kwa mtu,maisha yangu na familia yangu yeye mgeni wakupita njia asinipangie,anakwa wanawe alowazaa kumemshinda kwa mdomo wake ...

we boya umezidi kuigaiga ujinga. unaiharibu familia yako kwa mikono yako mwenyewe.

endelea hvyo hvyo kwa kuwa umemgeuza mmeo ndondocha
 
Ishi kama jamii nyingine inavoishi ukileta uzungu mbele ya mwafrica lazma uchukiwe hata kitendo cha kukurupuka unaleta uzi hapa inaonyesha hauko sawa!!!
 
Ishi kama jamii nyingine inavoishi ukileta uzungu mbele ya mwafrica lazma uchukiwe hata kitendo cha kukurupuka unaleta uzi hapa inaonyesha hauko sawa!!!
Hapo ndio mwisho wa ushauri wako eeh? haya Ahsante pia umejaribu si haba..
 
Nimegundua ni stori ya kutunga.Ila kama ni kweli hongera mama kujaliwa kama ulivyotaka iwe maishani mwako.Usiseme yote bakishia na kesho.
Sioni sababau ya kutunga maneno na sio Hulka yangu,mwenyezi mungu akujaalie na wewe kama alivyowajaalia wengine...
 
Kama baya kwako wewe kwetu sawa tu,na kama unadhani tunaiga wazungu siwezi kukubadilisha mawazo yako,yeye wanawe wa kike wana vaa mini ndani ya nyumba na hasemi kwa hiyo kiss ndio aliona kitu kikubwa sana? kunyanyasa yeye ndio anae taka niwanynyase wafanya kazi wangu kwakutaka kuleta rules zake ambazo hazitokubalika,anyway usijichoshe sana mwache mzee ametuliza anamaliza sikuzake wala usijali...
 
Weeee..siku hizi watoto wana ngozi laini fimbo 2 tu ngozi inachanika...polisi jamii wanarara mbere na wewe...Ila pole sana wageni ni baraka lkn wengine wanaleta kisirani. Muombe Mungu akupe hekima ya kuishi nao...
lol..shukran...
 
Kwani unadhani inamkera basiii? alikua anatafuta sababau tuuu,amesha zowea manake no changes so far na life goes on na amepoa...
 
Tamaduni sio kwa style alio ileta yeye,kwanza kabla hujaanza kunyoosha watoto wawemzio unaangalia wako kama wako sawa,alikuja kumleta mkewe matibabu sio anaeumwa,wangalie la mgonjwa sio mengine...
 
Sioni sababau ya kutunga maneno na sio Hulka yangu,mwenyezi mungu akujaalie na wewe kama alivyowajaalia wengine...

Mimi hata akinijalia itakuwa ni kwa makusudi maalumu.Kwamba niwe kama bomba tu la kupitishia "baraka" kama zenu kwenda alikokusudia.Hakuna kitu tunapata au tunatoa kwa nguvu zetu wenyewe.Mpende huyo mtesi wako kuliko marafiki zako.Adui hutokea kuwa rafiki wa kweli kweli na rafiki ndio huweza kuwa maadui wa kweli kweli.Ukijua namna ya kumu-handle huyo mtu(mkwe) hakika atatokea kuwa mkwe mzuri na rafiki mzuri.Nyumba hujengwa na mwanamke tena kwa ulimi wake na sio vitambaa vya makochi au mageti ya kuingilia magari.
 
Hana mda anakwenda zake siku zake zimeshawadia...
 

Kumbe ulikuja kutujulisha lifestyle ya nyumbani kwako na siyo kutaka ushauri wakati una majibu yako endelea hivyohivyo kama hukufundwa na wazazi wako JF siyo mahali pake.
 
Kumbe ulikuja kutujulisha lifestyle ya nyumbani kwako na siyo kutaka ushauri wakati una majibu yako endelea hivyohivyo kama hukufundwa na wazazi wako JF siyo mahali pake.
Pole una seem kua na Tafran ya nafsi yako,usinuneee,na hata kama huna ushauri wa kutoa sio lazima kila uzi lazima ujibu kama hujapenda Topic pita kwa salama na amani,mie mwenzio sijanuna wala hujanikera wewe wala mtu yoyote,kwa hisani yako usijikere sawaaaa,sipendi mtu akereke.
 
That's my gentleman
 
Kaa na mumeo muamue nini cha kufanya. Kama mnataka kubadili namna mnavyoishi kwa hizi siku 11 ni hiari yenu la mnataka kuendelea kuishi ambavyo mmekuwa mnaishi na hugs & kisses basi hakuna ubaya. Hawezi kuja mtu kwenu ambaye hajui namna mnavyoishi akakasirika kwa kuona tu mnaonyesha mapenzi kati yenu kwa kukumbatiana wakati mnaagana. Kama anaona karaha afunge virago akatafute pa kuishi ambapo hakutakuwa na kero kama za hapo kwenu.

 
Huyo mzee amefeli hadi huruma. Yaani wanae wa umri wa miaka 41 hadi 28 nao wanaona sawa kuongozana wote watatu kupeleka baba hospitali? Na kukaa hapo kwako?

Msamehe bure. Usinune, wachukulie wote kama wagonjwa wa akili. Akiona hugs zinamsumbua atahama (ila naamini yeye Na wanae hawana ubavu huo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…