Baba Levo: Nitakuwa mbunge tofauti na waliyozoea

Baba Levo: Nitakuwa mbunge tofauti na waliyozoea

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, amesema Watanzania watashuhudia aina ya ubunge tofauti na waliyozoea.

Chipando amesema watu wengi huamini kuwa wabunge hubadilika wanapopata madaraka na kujiona kama “mabosi”, lakini kwake itakuwa tofauti, kwani anaamini wananchi anaowaongoza wanatarajia aendelee kuwa mtu wa kawaida anayewasikiliza.

Ameyasema hayo tarehe 11 Novemba 2025, wakati akizungumza na wanahabari katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.

 
Daah Bunge letu limekosa heshima,hadi lunatic wanaingia bila shida 😔
 
20251111_125815.jpg
 
Back
Top Bottom