Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mbunge mteule wa Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo alivyojitambulisha Bungeni leo Novemba 11, 2025.
Soma katiba ubunge sio chama cha wanasheria ndu ni chombo cha kutunga sheria tu na kinachohitajika ni wananchi wako wakupende wakutume bungeni basiBaba Levo mbona kama anafanya uboya sana
Watu wa Kigoma safari hii mtaingizwa mkenge
Badala ya kuweka Wabunge waliosoma Sheria mnaweka kiazi
Mkuu kwa dunia ya sasa na kiwango cha elimu ya sasa pale hamna kitu wala msimpake manukatoSoma katiba ubunge sio chama cha wanasheria ndu ni chombo cha kutunga sheria tu na kinachohitajika ni wananchi wako wakupende wakutume bungeni basi
Swa hana elimu kabisa lakini ndo wananchi wamemchagua tufanyaje ? ungeniuliza mimi ningesema nataka bunge liwe na wabunge 80 tu na wa kuteluliwa 20 basi tuokoe gharama na kuondoa wakuu wa wilaya wote nafasi zao zishikwe na ma DASMkuu kwa dunia ya sasa na kiwango cha elimu ya sasa pale hamna kitu wala msimpake manukato
Labda kipindi cha Nyerere ila kwa sasa hapana
Mkuu ukitaka Bunge zuri unachukuaSwa hana elimu kabisa lakini ndo wananchi wamemchagua tufanyaje ? ungeniuliza mimi ningesema nataka bunge liwe na wabunge 80 tu na wa kuteluliwa 20 basi tuokoe gharama na kuondoa wakuu wa wilaya wote nafasi zao zishikwe na ma DAS
Mkuu wewe mwelewa sanaHalafu kuna umbwa zinaona CCM itafiisha nchi popote..... yani watu milioni 70 tunaongozwa na low brains kama hizi??? Kwanini waarabu na wachina wasifilisi nchi
Wewe sindio uliwaona vijana wapuuzi kuamua kuukataa huo ujinga. 🤔Mkuu wewe mwelewa sana
Yule jamaa ni kiazi kwasababu kwa dunia ya sasa ilipofikia haitaki viongozi mafala
China, Japan na USA na wengineo wangeongozwa na wajinga tusingewajua
Hivi Diamond alimtoa wapi Baba Levo?Huyu jamaa mshamba sana
Hapana sipingani nao naona namna gani wanatumikishwa ili yeye na watoto wake warudi kula matunda ya kazi ya GZWewe sindio uliwaona vijana wapuuzi kuamua kuukataa huo ujinga. 🤔
Tuacheni unafiki tuwe wamoja hakika nchi yetu itapiga hatua
Umeisema vizuri sana.... na narudia, China na Japan especially wangekua wanaongozwa na wajinga tusingewajua.Mkuu wewe mwelewa sana
Yule jamaa ni kiazi kwasababu kwa dunia ya sasa ilipofikia haitaki viongozi mafala
China, Japan na USA na wengineo wangeongozwa na wajinga tusingewajua
Hapo ndipo tatizo lilipoUmeisema vizuri sana.... na narudia, China na Japan especially wangekua wanaongozwa na wajinga tusingewajua.
Lakini huku ujinga ndo kigezo cha uongozi
Sio kweriiiii ukipeleka mbunge kilaza wa kugonga meza muda woteeeeeeeSoma katiba ubunge sio chama cha wanasheria ndu ni chombo cha kutunga sheria tu na kinachohitajika ni wananchi wako wakupende wakutume bungeni basi
Achana na hiyo kumbafu isiyo na akili... maamuzi yote muhimu ya nchi, sera, mikataba na vingine vingi vinasimamiwa na wizara mbalimbali, mawaziri wa wizara wanatoka bungeni, sheria na check and balance ya serikali inafanyika bungeni.Sio kweriiiii ukipeleka mbunge kilaza wa kugonga meza muda woteeeeeee
Mbunge ambae hajawai kufanya tafiti yeyote na elimu tia maji tia majii usitegemee something new maendeleo hayaji kama 🍽️ plate ya makande mezani.
Wanakigoma nimewa DHARAU sanaa