GE2025 Baba Levo afanyiwa maombi na Wachungaji 100 Kigoma

GE2025 Baba Levo afanyiwa maombi na Wachungaji 100 Kigoma

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mgombea Ubunge wa Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo, amefanyiwa maombi maalum na wachungaji zaidi ya 100 mkoani Kigoma.

 
Maombi ni drama kama zilivyo drama nyingine tu
 
Mgombea Ubunge wa Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo, amefanyiwa maombi maalum na wachungaji zaidi ya 100 mkoani Kigoma.

Duh!, mwaka huu ZZK anakwenda kuaibika

Anyway, ndio atajua kwa nini wengine tumekomaa na No Reforms, No Elections!
 
Back
Top Bottom