kulikuwa na baba ambaye siku zote alikuwa anamazoea ya kujamba mbele ya mwanae.
basi siku ya siku wageni wamekuja kumtembelea wako sebuleni,wakati huo dogo hakuwepo.
baada ya muda si mrefu dogo akaingia sebuleni ghafla bila ya kujua kuna wageni akatamka
BABA JAMBA TENA.............