baba jamba tena

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,682
Reaction score
14,066
kulikuwa na baba ambaye siku zote alikuwa anamazoea ya kujamba mbele ya mwanae.
basi siku ya siku wageni wamekuja kumtembelea wako sebuleni,wakati huo dogo hakuwepo.
baada ya muda si mrefu dogo akaingia sebuleni ghafla bila ya kujua kuna wageni akatamka
BABA JAMBA TENA.............
 
ningekua mgeni, ningeaga ili asijskie aibu
 
Waswahili husema:Kama mume/mke kujamba tu anakuficha (hujawahi msikia)ujue ana siri nyingi anaficha.Ila tuwe wastaarabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…