Mike Moe
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 421
- 484
•Tumemshtaki KARIA?
•Tumeishtaki TFF?
•Tumeishtaki Bodi ya ligi?
•Tumeishtaki Simba SC?
Naona uchambuzi wa tetesi ni mwingi kuliko uhalisia, hatusikii shauri linavyosema na uainisho wa vifungu vya kanuni/sheria Vilivyovunjwa.
Soma Pia: Yanga Yafungua malalamiko CAS dhidi ya bodi ya ligi
Uzuri wa kupeleka kesi CAS kwanza unatakuwa ulipie sh 120M na kesi inaweza kuchukua Hata miezi mitatu ndio ianzekusikilizwa na ikibainika umewapotezea muda utalipia faini ya sh 350M.
•Tumeishtaki TFF?
•Tumeishtaki Bodi ya ligi?
•Tumeishtaki Simba SC?
Naona uchambuzi wa tetesi ni mwingi kuliko uhalisia, hatusikii shauri linavyosema na uainisho wa vifungu vya kanuni/sheria Vilivyovunjwa.
Soma Pia: Yanga Yafungua malalamiko CAS dhidi ya bodi ya ligi
Uzuri wa kupeleka kesi CAS kwanza unatakuwa ulipie sh 120M na kesi inaweza kuchukua Hata miezi mitatu ndio ianzekusikilizwa na ikibainika umewapotezea muda utalipia faini ya sh 350M.